23 Siku hiyo shangilieni na kuruka kwa shangwe, kwa maana tazama! thawabu yenu ni kubwa mbinguni, kwa kuwa mababu zao waliwatendea manabii mambo hayohayo.+
23 Shangilieni siku hiyo na kuruka, kwa maana, tazama! thawabu yenu ni kubwa mbinguni, kwa maana mambo hayo ndiyo mababu zao walikuwa wakiwafanyia manabii.+