13 Mbegu zilizoanguka kwenye mwamba ni wale ambao wanapolisikia neno hulipokea kwa shangwe, lakini hawana mizizi. Wanaamini kwa muda, hata hivyo wanapojaribiwa wanaanguka.+
13 Zile zilizo juu ya mwamba ndio wale ambao, wanapolisikia, hulipokea lile neno kwa shangwe, lakini hawana mzizi; wao huamini kwa muda, lakini wakati wa jaribu wao huanguka.+