25 Kisha akawauliza: “Kwa nini hamna imani?” Lakini wakaogopa na kushangaa, wakaambiana: “Kwa kweli, mtu huyu ni nani? Kwa maana anaamuru upepo na maji, navyo vinamtii.”+
25 Ndipo akawaambia: “Imani yenu iko wapi?” Lakini wakiwa wameingiwa na woga, wakastaajabu, wakaambiana: “Kwa kweli huyu ni nani, kwa maana anaagiza hata pepo na maji, nazo zinamtii?”+