13 Kwa hiyo, ingawa ninyi ni waovu, mnajua jinsi ya kuwapa watoto wenu zawadi nzuri, je, Baba aliye mbinguni hatawapa hata zaidi roho takatifu wale wanaomwomba!”+
13 Kwa hiyo, ikiwa ninyi, mjapokuwa waovu, mnajua jinsi ya kuwapa watoto+ wenu zawadi zilizo njema, je, Baba aliye mbinguni hatawapa hata zaidi roho takatifu+ wale wanaomwomba!”