32 Watu wa Ninawi watasimama katika hukumu pamoja na kizazi hiki nao watakihukumu, kwa sababu walitubu Yona alipowahubiria.+ Lakini tazama! hapa pana mtu mkuu kuliko Yona.
32 Watu wa Ninawi watasimama katika hukumu pamoja na kizazi hiki nao watakilaumu; kwa maana walitubu kutokana na mahubiri ya Yona;+ lakini, tazameni! Aliye mkuu+ kuliko Yona yupo hapa.