Luka 11:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Hakuna mtu anayewasha taa na kuificha au kuiweka chini ya kikapu,* bali huiweka kwenye kinara cha taa,+ ili iwaangazie wale wanaoingia. Luka 11:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Baada ya kuwasha taa, mtu huiweka, si katika ghala wala chini ya kikapu cha kupimia, bali juu ya kinara cha taa,+ ili wale wanaoingia ndani wapate kuiona nuru. Luka Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 11:33 Yesu—Njia, uku. 177 Mnara wa Mlinzi,8/15/1988, kur. 8-9
33 Hakuna mtu anayewasha taa na kuificha au kuiweka chini ya kikapu,* bali huiweka kwenye kinara cha taa,+ ili iwaangazie wale wanaoingia.
33 Baada ya kuwasha taa, mtu huiweka, si katika ghala wala chini ya kikapu cha kupimia, bali juu ya kinara cha taa,+ ili wale wanaoingia ndani wapate kuiona nuru.