21 Naye akaendelea kuwaambia: “Je, taa huletwa ili kuwekwa chini ya kikapu cha kupimia au chini ya kitanda? Je, hailetwi ili kuwekwa juu ya kinara cha taa?+
16 “Hakuna yeyote ambaye, baada ya kuwasha taa, huifunika na chombo au kuiweka chini ya kitanda, bali huiweka juu ya kinara cha taa, ili wale wanaoingia ndani wapate kuiona nuru.+