21 Naye akaendelea kuwaambia: “Je, taa huletwa ili kuwekwa chini ya kikapu cha kupimia au chini ya kitanda? Je, hailetwi ili kuwekwa juu ya kinara cha taa?+
33 Baada ya kuwasha taa, mtu huiweka, si katika ghala wala chini ya kikapu cha kupimia, bali juu ya kinara cha taa,+ ili wale wanaoingia ndani wapate kuiona nuru.