Mathayo 5:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Watu huwasha taa na kuiweka, si chini ya kikapu cha kupimia,+ bali juu ya kinara cha taa, nayo huangazia watu wote waliomo ndani ya nyumba. Luka 11:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Baada ya kuwasha taa, mtu huiweka, si katika ghala wala chini ya kikapu cha kupimia, bali juu ya kinara cha taa,+ ili wale wanaoingia ndani wapate kuiona nuru.
15 Watu huwasha taa na kuiweka, si chini ya kikapu cha kupimia,+ bali juu ya kinara cha taa, nayo huangazia watu wote waliomo ndani ya nyumba.
33 Baada ya kuwasha taa, mtu huiweka, si katika ghala wala chini ya kikapu cha kupimia, bali juu ya kinara cha taa,+ ili wale wanaoingia ndani wapate kuiona nuru.