37 Wenye furaha ni watumwa ambao bwana wao akija atawakuta wakikesha! Kwa kweli ninawaambia, atavaa vazi la mhudumu* na kuwaambia waketi mezani naye atakuja na kuwahudumia.
37 Wenye furaha ni watumwa ambao bwana anapofika anawakuta wakikesha!+ Kwa kweli ninawaambia ninyi, Yeye atajifunga+ na kuwaketisha mezani naye atakuja kando na kuwahudumia.+