45 Lakini ikiwa mtumwa huyo atasema moyoni mwake, ‘Bwana wangu anakawia kuja,’ naye aanze kuwapiga watumishi wa kiume na wa kike na kula na kunywa na kulewa,+
45 Lakini ikiwa wakati wowote mtumwa huyo atasema moyoni mwake, ‘Bwana wangu anakawia kuja,’+ naye aanze kuwapiga watumishi na vijakazi, na kula na kunywa na kulewa,+