19 Ni kama mbegu ya haradali ambayo mtu alichukua na kuipanda katika shamba lake, ikasitawi na kuwa mti, nao ndege wa angani wakajenga viota kwenye matawi yake.”+
19 Ni kama mbegu ya haradali ambayo mtu alichukua akaiweka katika bustani yake, nayo ikakua ikawa mti, nao ndege wa mbinguni+ wakapata makao katika matawi yake.”+