10 Lakini unapoalikwa, nenda uketi mahali pa chini kabisa, ili mtu aliyekualika akija akuambie, ‘Rafiki yangu, nenda uketi mahali pa heshima zaidi.’ Kisha utakuwa na heshima mbele ya wageni wenzako wote.+
10 Lakini unapoalikwa, nenda ukaketi mahali pa chini zaidi,+ ili mtu ambaye amekualika atakapokuja akuambie, ‘Rafiki, nenda juu zaidi.’ Ndipo utakapokuwa na heshima mbele ya wageni wenzako wote walioalikwa.+