Methali 15:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Kumwogopa Yehova ni mazoezi ya kupata hekima,+Na kabla ya utukufu kuna unyenyekevu.+ Yakobo 4:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Jinyenyekezeni machoni pa Yehova,*+ naye atawainua.+ 1 Petro 5:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Vivyo hivyo, enyi vijana, jitiisheni kwa wanaume wazee.*+ Lakini ninyi nyote mtendeane kwa* unyenyekevu,* kwa sababu Mungu huwapinga wenye majivuno, lakini huwapa wanyenyekevu fadhili zisizostahiliwa.+
5 Vivyo hivyo, enyi vijana, jitiisheni kwa wanaume wazee.*+ Lakini ninyi nyote mtendeane kwa* unyenyekevu,* kwa sababu Mungu huwapinga wenye majivuno, lakini huwapa wanyenyekevu fadhili zisizostahiliwa.+