Luka 16:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Pia, Yesu akawaambia wanafunzi wake: “Tajiri fulani alikuwa na msimamizi* ambaye alishtakiwa kwamba anatumia vibaya mali yake. Luka 16:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Ndipo akaendelea kuwaambia wanafunzi pia: “Mtu fulani alikuwa tajiri naye alikuwa na msimamizi-nyumba,+ na huyo akashtakiwa kwake kuwa anapoteza mali zake.+ Luka Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 16:1 Mnara wa Mlinzi (Funzo),7/2017, uku. 8
16 Pia, Yesu akawaambia wanafunzi wake: “Tajiri fulani alikuwa na msimamizi* ambaye alishtakiwa kwamba anatumia vibaya mali yake.
16 Ndipo akaendelea kuwaambia wanafunzi pia: “Mtu fulani alikuwa tajiri naye alikuwa na msimamizi-nyumba,+ na huyo akashtakiwa kwake kuwa anapoteza mali zake.+