Luka 16:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na msipokuwa waaminifu kuhusu mali ya mtu mwingine, ni nani atakayewapa mali yenu wenyewe?+ Luka 16:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na ikiwa ninyi hamjajionyesha wenyewe kuwa waaminifu kuhusiana na kilicho cha mwingine,+ ni nani atakayewapa ninyi kilicho chenu wenyewe? Luka Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 16:12 Mnara wa Mlinzi,3/1/1989, uku. 9
12 Na ikiwa ninyi hamjajionyesha wenyewe kuwa waaminifu kuhusiana na kilicho cha mwingine,+ ni nani atakayewapa ninyi kilicho chenu wenyewe?