Yohana 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 (Yohana alitoa ushahidi kumhusu, ndiyo, alisema kwa sauti kubwa: “Huyu ndiye niliyesema kumhusu, ‘Yule anayekuja nyuma yangu amenitangulia, kwa maana alikuwapo kabla yangu.’”)+ Yohana 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 (Yohana alitoa ushahidi juu yake, ndiyo, kwa kweli alipaaza sauti—huyu ndiye aliyesema hilo—akisema: “Yule anayekuja nyuma yangu amekwenda mbele yangu, kwa sababu alikuwako kabla yangu.”)+ Yohana Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 1:15 Mnara wa Mlinzi,4/1/1993, uku. 12
15 (Yohana alitoa ushahidi kumhusu, ndiyo, alisema kwa sauti kubwa: “Huyu ndiye niliyesema kumhusu, ‘Yule anayekuja nyuma yangu amenitangulia, kwa maana alikuwapo kabla yangu.’”)+
15 (Yohana alitoa ushahidi juu yake, ndiyo, kwa kweli alipaaza sauti—huyu ndiye aliyesema hilo—akisema: “Yule anayekuja nyuma yangu amekwenda mbele yangu, kwa sababu alikuwako kabla yangu.”)+