26 Kwa hiyo wakaja kwa Yohana na kumwambia: “Rabi, mtu aliyekuwa pamoja nawe ng’ambo ya Yordani, ambaye ulitoa ushahidi kumhusu,+ anabatiza na watu wote wanaenda kwake.”
26 Kwa hiyo wakaja kwa Yohana na kumwambia: “Rabi, mtu aliyekuwa pamoja nawe ng’ambo ya Yordani, ambaye umetoa ushahidi+ juu yake, ona, huyu anabatiza na wote wanamwendea.”+