9 Kwa hiyo mwanamke huyo Msamaria akamuuliza: “Wewe ni Myahudi, nami ni mwanamke Msamaria, unawezaje kuniomba maji ya kunywa?” (Kwa maana Wayahudi hawashirikiani na Wasamaria.)+
9 Kwa hiyo mwanamke huyo Msamaria akamwambia: “Wewe, ujapokuwa Myahudi, unawezaje kuniomba maji ya kunywa, na mimi ni mwanamke Msamaria?” (Kwa maana Wayahudi hawana shughuli na Wasamaria.)+