45 Kwa hiyo, alipofika Galilaya, Wagalilaya wakamkaribisha, kwa sababu walikuwa wameona mambo yote aliyofanya huko Yerusalemu kwenye sherehe,+ kwa maana wao pia walikuwa wameenda kwenye sherehe.+
45 Kwa hiyo, alipofika Galilaya, Wagalilaya wakampokea, kwa sababu walikuwa wameona mambo yote aliyofanya Yerusalemu kwenye sherehe,+ kwa maana wao pia walikuwa wameenda kwenye sherehe.+