Yohana 7:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Mtu yeyote anayetamani kufanya mapenzi ya Mungu, atajua kama mafundisho haya yanatoka kwa Mungu+ au ninasema mambo niliyojitungia. Yohana 7:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Ikiwa yeyote anatamani kufanya mapenzi Yake, atajua kama fundisho hilo limetoka kwa Mungu+ au kama ninasema mambo ambayo nimetunga mimi mwenyewe. Yohana Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 7:17 Yesu—Njia, uku. 158 Mnara wa Mlinzi,4/1/1988, uku. 8
17 Mtu yeyote anayetamani kufanya mapenzi ya Mungu, atajua kama mafundisho haya yanatoka kwa Mungu+ au ninasema mambo niliyojitungia.
17 Ikiwa yeyote anatamani kufanya mapenzi Yake, atajua kama fundisho hilo limetoka kwa Mungu+ au kama ninasema mambo ambayo nimetunga mimi mwenyewe.