18 Mtu anayesema mambo aliyojitungia anajitafutia utukufu; lakini mtu anayetafuta utukufu wa yule aliyemtuma,+ huyo ni wa kweli, na hana ukosefu wowote wa uadilifu ndani yake.
18 Yule ambaye husema mambo aliyotunga yeye mwenyewe anatafuta utukufu wake mwenyewe; bali yule anayetafuta utukufu+ wake aliyemtuma, huyo ni wa kweli, na hakuna ukosefu wa uadilifu ndani yake.