-
Yohana 8:11Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
11 Yule mwanamke akasema: “Hakuna, bwana.” Yesu akasema: “Wala mimi sikuhukumu kuwa na hatia. Ondoka uende zako; tangu sasa na kuendelea usiendelee kutenda dhambi tena.”
-