18 Hakuna mtu anayeuchukua kutoka kwangu, bali ninautoa kwa hiari yangu. Nina mamlaka ya kuutoa, nami nina mamlaka ya kuupokea tena.+ Nilipokea amri hii kutoka kwa Baba yangu.”
18 Hakuna mtu ambaye ameichukua kutoka kwangu, bali ninaitoa kwa uamuzi wangu mwenyewe. Nina mamlaka ya kuitoa, nami nina mamlaka ya kuipokea tena.+ Amri+ kuhusu hili niliipokea kutoka kwa Baba yangu.”