Yohana 11:1 Biblia TakatifuāTafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mtu fulani aliyeitwa Lazaro alikuwa mgonjwa; aliishi Bethania, kijiji cha Maria na Martha+ dada yake. Yohana 11:1 Biblia TakatifuāTafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Basi kulikuwa na mtu fulani mgonjwa, Lazaro wa Bethania, wa kijiji cha Maria na cha Martha+ dada yake.
11 Mtu fulani aliyeitwa Lazaro alikuwa mgonjwa; aliishi Bethania, kijiji cha Maria na Martha+ dada yake.
11 Basi kulikuwa na mtu fulani mgonjwa, Lazaro wa Bethania, wa kijiji cha Maria na cha Martha+ dada yake.