21 Basi baada ya kuwatisha zaidi, wakawafungua, kwa vile hawakupata msingi wowote wa kuwaadhibu na kwa kuwa waliwaogopa watu,+ kwani wote walikuwa wakimtukuza Mungu kwa sababu ya jambo lililokuwa limetukia.
21 Kwa hiyo, walipokuwa wamewatisha zaidi, wakawafungua, kwa kuwa hawakupata msingi wowote wa kuwaadhibu na kwa sababu ya watu,+ kwa sababu wote walikuwa wakimtukuza Mungu juu ya jambo lililokuwa limetukia;