31 Na baada ya kutoa dua,* mahali walipokuwa wamekusanyika pakatikiswa, na kila mmoja wao akajazwa roho takatifu+ nao walikuwa wakitangaza neno la Mungu kwa ujasiri.+
31 Nao walipokuwa wameomba dua, mahali hapo walipokuwa wamekusanyika pamoja pakatikiswa;+ nao wote wakajazwa roho takatifu+ na wakawa wakisema neno la Mungu kwa ujasiri.+