34 Kwa kweli, hakuna yeyote kati yao aliyekuwa na uhitaji,+ kwa maana wote waliokuwa na mashamba au nyumba walikuwa wakiuza na kuleta thamani ya kile walichouza,
34 Kwa kweli, hapakuwa hata mmoja mwenye uhitaji kati yao;+ kwa maana wale wote waliokuwa na mashamba au nyumba walikuwa wakiviuza na kuleta thamani za vitu vilivyouzwa