5 Wanafunzi wote wakakubaliana na jambo walilosema, nao wakamchagua Stefano, mwanamume aliyejaa imani na roho takatifu, vilevile Filipo,+ Prokoro, Nikanori, Timoni, Parmena, na Nikolao, mgeuzwa-imani wa Antiokia.
5 Na jambo hilo lililosemwa likaupendeza umati wote, nao wakamchagua Stefano, mwanamume mwenye kujaa imani na roho takatifu,+ na Filipo+ na Prokoro na Nikanori na Timoni na Parmena na Nikolao, mgeuzwa-imani wa Antiokia;