44 “Mababu zetu walikuwa na hema la ushahidi nyikani, lililotengenezwa kwa kufuata maagizo ambayo Mungu alimpa Musa kulingana na mfano aliokuwa amemwonyesha.+
44 “Mababu zetu walikuwa na hema la ushahidi nyikani, kama vile alivyotoa maagizo alipokuwa akisema na Musa ili kulifanya kulingana na mfano aliokuwa ameuona.+