Matendo 7:60 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 60 Kisha akapiga magoti, akasema kwa sauti kubwa: “Yehova,* usiwahesabie dhambi hii.”+ Na baada ya kusema hayo, akalala usingizi katika kifo. Matendo 7:60 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 60 Ndipo akapiga magoti yake, akapaaza sauti kubwa: “Yehova, usiwahesabie dhambi hii.”+ Na baada ya kusema hayo akalala usingizi katika kifo.
60 Kisha akapiga magoti, akasema kwa sauti kubwa: “Yehova,* usiwahesabie dhambi hii.”+ Na baada ya kusema hayo, akalala usingizi katika kifo.
60 Ndipo akapiga magoti yake, akapaaza sauti kubwa: “Yehova, usiwahesabie dhambi hii.”+ Na baada ya kusema hayo akalala usingizi katika kifo.