Kuanzia siku hiyo kutaniko lililokuwa Yerusalemu likaanza kuteswa sana; wanafunzi wote isipokuwa mitume wakatawanyika kotekote katika maeneo ya Yudea na Samaria.+
8Naye Sauli alikuwa akikubaliana na kuuawa kwake.+
Katika siku hiyo mateso+ makubwa yakatokea juu ya kutaniko lililokuwa katika Yerusalemu; wote isipokuwa mitume walitawanywa+ kotekote katika maeneo ya Yudea na Samaria.