Matendo 8:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Simoni pia akawa mwamini na baada ya kubatizwa, akaandamana na Filipo;+ naye alishangaa kuona ishara na matendo yenye nguvu yaliyokuwa yakifanywa. Matendo 8:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Simoni mwenyewe pia akawa mwamini, na, baada ya kubatizwa, akawa akimhudumia Filipo+ daima; naye alishangaa kuona ishara na kazi kubwa zenye nguvu zikitendeka.
13 Simoni pia akawa mwamini na baada ya kubatizwa, akaandamana na Filipo;+ naye alishangaa kuona ishara na matendo yenye nguvu yaliyokuwa yakifanywa.
13 Simoni mwenyewe pia akawa mwamini, na, baada ya kubatizwa, akawa akimhudumia Filipo+ daima; naye alishangaa kuona ishara na kazi kubwa zenye nguvu zikitendeka.