25 Kwa hiyo, baada ya kutoa ushahidi kamili na kulisema neno la Yehova,* wakaanza kurudi Yerusalemu, nao wakaenda wakitangaza habari njema katika vijiji vingi vya Wasamaria.+
25 Kwa hiyo, walipokuwa wametoa ushahidi kikamili na wakiwa wamelisema neno la Yehova, wakarudi Yerusalemu, nao wakaenda wakitangaza habari njema kwenye vijiji vingi vya Wasamaria.+