32 Alikuwa akisoma kifungu hiki cha Andiko: “Kama kondoo, alipelekwa machinjioni, na kama mwanakondoo aliye kimya mbele ya mtu anayemnyoa, vivyo hivyo yeye hafungui kinywa chake.+
32 Sasa kifungu cha Andiko alichokuwa akisoma kwa sauti kubwa kilikuwa hiki: “Kama kondoo aliletwa machinjioni, na kama mwana-kondoo asiye na sauti mbele ya mwenye kumnyoa, ndivyo huyo asivyofungua kinywa chake.+