39 Walipopanda kutoka ndani ya maji, roho ya Yehova* ikamwongoza Filipo upesi aondoke, na towashi hakumwona tena, bali aliendelea na safari yake akishangilia.
39 Walipokuwa wamepanda kutoka ndani ya maji, roho ya Yehova ikamwondoa Filipo upesi,+ na towashi hakumwona tena kamwe, kwa maana aliendelea kwenda zake akishangilia.