31 Ndipo kutaniko katika eneo lote la Yudea, Galilaya, na Samaria+ likaingia katika kipindi cha amani, huku likijengwa; nalo lilipokuwa likitembea katika kumwogopa Yehova* na katika faraja ya roho takatifu,+ likaendelea kuongezeka.
31 Ndipo, kwa kweli, kutaniko+ kotekote katika Yudea na Galilaya na Samaria likaingia katika kipindi cha amani, likijengwa; nalo lilipokuwa likitembea katika kumwogopa Yehova+ na katika faraja ya roho takatifu+ likaendelea kuongezeka.