36 Huko Yopa kulikuwa na mwanafunzi aliyeitwa Tabitha, jina ambalo linapotafsiriwa linamaanisha “Dorkasi.”* Alikuwa akitenda matendo mema na kutoa zawadi za rehema.
36 Lakini katika Yopa+ kulikuwako mwanafunzi fulani aliyeitwa Tabitha, jina ambalo, linapotafsiriwa, linamaanisha Dorkasi. Huyo alizidi katika matendo mema+ na zawadi za rehema alizokuwa akitoa.