17 Petro akiwa bado anashangaa kuhusu maana ya maono hayo, wakati huohuo wale watu waliotumwa na Kornelio waliulizia nyumba ya Simoni nao walikuwa wamesimama langoni.+
17 Basi Petro alipokuwa amefadhaika sana ndani yake juu ya maana ya maono aliyokuwa ameona, tazama! wale watu waliotumwa na Kornelio walikuwa wameuliza kuhusu nyumba ya Simoni na walikuwa wamesimama hapo langoni.+