22 Wakajibu: “Kornelio,+ ofisa wa jeshi, mwanamume mwadilifu anayemwogopa Mungu na mwenye sifa njema katika taifa lote la Wayahudi, alipewa maagizo na Mungu kupitia malaika mtakatifu kwamba awatume watu wakuite uje nyumbani kwake ili wasikie mambo utakayosema.”