11 Petro alipotambua kilichokuwa kikitendeka, akasema: “Sasa ninajua kwa hakika kwamba Yehova* alimtuma malaika wake na kunikomboa kutoka mkononi mwa Herode na mambo yote ambayo Wayahudi walitarajia.”+
11 Na Petro akarudiwa na fahamu, akasema: “Sasa ninajua hakika kwamba Yehova alimtuma+ malaika wake na kunikomboa+ kutoka mkononi mwa Herode na kutoka katika yote ambayo Wayahudi wote walikuwa wakitarajia.”