26 Kutoka huko wakasafiri baharini kwenda Antiokia, ambako walikuwa wamekabidhiwa kwenye fadhili zisizostahiliwa za Mungu kwa ajili ya kazi ambayo sasa walikuwa wamemaliza.+
26 Na kutoka huko wakasafiri kwenda Antiokia,+ walikokuwa wamekabidhiwa kwenye fadhili zisizostahiliwa za Mungu kwa ajili ya kazi waliyokuwa wameifanya kikamili.+