2 Baada ya Paulo na Barnaba kutoelewana na kubishana sana na watu hao, wakapanga Paulo na Barnaba na wengine wapande kwenda kwa mitume na wazee huko Yerusalemu+ kuuliza kuhusu jambo* hilo.
2 Lakini kulipokuwa kumetokea mtengano usio mdogo na bishano kati ya Paulo na Barnaba pamoja nao, wakapanga Paulo na Barnaba na wengine kati yao wapande kwenda kwa mitume na wanaume wazee katika Yerusalemu+ kuhusu bishano hilo.