17 Msichana huyo alikuwa akimfuata Paulo na sisi akisema kwa sauti kubwa: “Watu hawa ni watumwa wa Mungu Aliye Juu Zaidi+ nao wanawatangazia ninyi njia ya wokovu.”
17 Kijakazi huyo alikuwa akimfuata Paulo na sisi akipaaza sauti+ kwa maneno haya: “Watu hawa ni watumwa wa Mungu Aliye Juu Zaidi, wanaowatangazia ninyi njia ya wokovu.”