13 Lakini Wayahudi kutoka Thesalonike waliposikia kwamba Paulo alikuwa akitangaza pia neno la Mungu huko Beroya, wakaja huko ili kuchochea na kuuvuruga umati.+
13 Lakini Wayahudi kutoka Thesalonike walipopata habari kwamba Paulo alitangaza neno la Mungu katika Beroya pia, wakaja huko pia ili kuchochea+ na kuwafadhaisha+ watu.