Matendo 17:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Sasa waliposikia kuhusu ufufuo wa wafu, baadhi yao wakaanza kumdhihaki,+ huku wengine wakisema: “Tutakusikiliza kuhusu jambo hili wakati mwingine.” Matendo 17:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Basi, waliposikia juu ya ufufuo wa wafu, wengine kati yao wakaanza kudhihaki,+ huku wengine wakisema: “Tutakusikiliza tena juu ya jambo hili wakati mwingine.” Matendo Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 17:32 w10 7/15 31; bt 147; w98 7/1 12 Matendo Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 17:32 Kutoa Ushahidi, uku. 147 Mnara wa Mlinzi (2010),7/15/2010, uku. 317/1/1998, uku. 12
32 Sasa waliposikia kuhusu ufufuo wa wafu, baadhi yao wakaanza kumdhihaki,+ huku wengine wakisema: “Tutakusikiliza kuhusu jambo hili wakati mwingine.”
32 Basi, waliposikia juu ya ufufuo wa wafu, wengine kati yao wakaanza kudhihaki,+ huku wengine wakisema: “Tutakusikiliza tena juu ya jambo hili wakati mwingine.”