17 Basi wote wakamkamata Sosthene,+ ofisa msimamizi wa sinagogi na kuanza kumpiga mbele ya kiti cha hukumu. Lakini Galio hakujihusisha kamwe na mambo hayo.
17 Kwa hiyo wote wakamshika Sosthene+ ofisa-msimamizi wa sinagogi na kuanza kumpiga mbele ya kiti cha hukumu. Lakini Galio hakujihangaisha hata kidogo na mambo hayo.