9 Lakini baadhi yao wakawa wagumu* na wakakataa kuamini, huku wakizungumza vibaya kuhusu Ile Njia+ mbele ya umati. Basi akawaacha+ na kuwatenga wanafunzi kutoka kwao, na kila siku alikuwa akitoa hotuba katika ukumbi wa shule ya Tirano.
9 Lakini wengine walipoendelea kujifanya wenyewe wagumu na kutoamini,+ wakisema vibaya juu ya Ile Njia+ mbele ya umati, akaondoka kwao+ na kuwatenga wanafunzi kutoka kwao,+ kila siku akitoa hotuba nyingi katika jumba la shule ya Tirano.