21 Baada ya mambo hayo kutukia, Paulo akaazimia katika roho yake kwamba baada ya kupitia Makedonia+ na Akaya, atasafiri kwenda Yerusalemu.+ Akasema: “Baada ya kwenda huko, lazima pia nione Roma.”+
21 Sasa mambo hayo yalipokuwa yametimizwa, Paulo akakusudia katika roho yake kwamba, baada ya kupitia Makedonia+ na Akaya, angefunga safari kwenda Yerusalemu,+ akisema: “Baada ya kufika huko lazima pia nione Roma.”+