16 Paulo alikuwa ameamua kuendelea na safari bila kupitia Efeso,+ ili asitumie muda wowote katika mkoa wa Asia, kwa maana alikuwa akiharakisha kufika Yerusalemu+ siku ya Sherehe ya Pentekoste kama ingewezekana.
16 Kwa maana Paulo alikuwa ameamua kusafiri kupita Efeso,+ ili asitumie wakati wowote katika wilaya ya Asia; kwa maana alikuwa akifanya haraka afike Yerusalemu+ siku ya sherehe ya Pentekoste kama kwa vyovyote angeweza.